kanye west apata ajari akiwa na kim wakati akiwakwepa ma paparazi wa u.s.a
kanye west amepata ajari akati akiwakimbia wahandishi wa habari bila kuangalia mbele kuna kitu gani na kujikuta akijigonga katika moja ya mabango ambayo yalikuwa jiani hapo hadi sasa picha zake azijapatikana inasemekana kim nae ameata mshituko baada ya kumuona kanye west akijigonga kwenye ilo bango
0 comments:
Post a Comment