T.I ATOA LAKE LA MOYONI KUHUSU MLIPUKO WA BOSTON KUHUSISHWA NA MZIKI WA HIPHOP

T.I

Rapper T.I. Amekerwa Na Kitendo Cha Vyombo Vya Habari Cha Kunganisha Magaidi Waliosababisha Mlipuko Wa Mabomu Mjini Boston Marekani Na Mziki Wa HipHop.  T.I Amesema HipHop Inahusu Amani Na Upendo tu Na Sio Jambo Lingine Na Ni Kitu Kibaya Kuhusisha Mziki Wa HipHop Na Magaidi.
Fahamu Kuwa Taarifa Hizi Zilitoka Baada Ya Uchunguzi Kugundua Kuwa Mmoja Ya Magaidi Hao Tamerlan Tsarnaev  Amekuwa Akitembelea Tovuti Ya Real-HipHop.com na Ana Email Kwenye Mtandao Huo.
T.I Amekerwa Zaidi Na Vyombo Vya Habari Kusema Mlipuko Huo Wa Mabomu Umesababishwa Na Mapenzi Ya Muziki Wa Hiphop NaKusema HipHop Ina Tafsiri Utamaduni Na Maisha Yetu, Haitengenezi Utamaduni, Pole Kwa Familia Zao Na Tunazidi Kuwaombea.
Mdogo Wa Tamerlan, Dzhokhar Alikamatwa HaiIjuma April 19
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment