SIKILIZA HAPA U_HEARD YA LEO -16TH_APRIL_2013_www.SUCCI1.blog... @Hulkshare:

 U_HEARD_16TH_APRIL_2013_www_succi1_blog... @Hulkshare

Kitu alichokifanya daimondi nikitu cha uzalilishaji wa kijinsia mimi kama mwanaume mwenzie kwa kweli naweza  sema kwamba sio kitu kizuri kwa jamii na hata kwa mola wetu yeye kama mwanaume mimi naweza kumuita yeye ni mbovu wa kufikili ameonesha wazi kabisa kwamba yeye anaheshima kwa wanawake(respect)
kumrikodi wema nakupeleka clip kwenye vyombo vya habari ni kitu ambacho atakijutia maisha yake yote lazima ajiraumu, Mtu kama yeye tena msanii mkubwa anaependwa na watu zaidi milioni anawafundisha nini vijana wenzake amesahau kwamba yeye ni kioo cha jamii au ni vipi.
Ni amejishusha sana sana sanaaaaa tu ameniboa mimi kama mimi najua kuna watanzania wengine wamefuraishwa na kitendo alichokifanya msanii huyu wa bongo fleva
Jamani watu  tubadilike na tukuwe aya mambo ya shapitwa na wakati jamani kutafuta jina au kujiinua kwa maskendo sio sifa kama unataka kujurikana mbona mambo yapo mengi ya wewe kufanya ili upate ilo jina ehee,sio kujifanya unamtumia mtu kupata umaharufu si semi kama daimondi amefanya ivyo kwa kutafuta umaharufu HAPANA naomba unielewe yeye kashakuwa mtu mwenyejina sana anaejulikana san na watu.

Wema mimi namtetea tena sana kwa hili  ila sio kama naweza sema ile sauti sio yake hapana sauti kila mtu kaisikia ni ya kwake ila kwa hicho kitendo cha daimondi ni uswahili ulio pitiliza sana kwa mwanaume kama yeye sikutengemea kama angefanya kitendo kama hicho
Ninachoweza kusema mungu amsaidie sana kijana uyu.SIKILIZA HAPA HIO CLIP YA DAIMONDI
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment