PICHA ZA JAY Z AKIWA NA CHRIS MARTIN WA COLD PLAY WAKITAZAMA MECHI YA MAN VS ARSENAL NA KUHUSU JAY Z KUWEKEZA ARSENAL.


Jay-Z Alishawahi Kusema Miaka 3 Iliyopita Kuwa, Ipo Siku Atawekeza Mamilioni Ya Dollar Za Kimarekani Kwenye Club Ya Arsenal. Nadhani Itatokea Siku Zakaribuni. Hii Ni Baada Ya Rapper Jay z Kuonekana Akifatilia Kwa Ukaribu Zaidi Mechi Ya Arsenal Na Man Untd Weekend Hii. Kwenye Mechi Man Na Arsenal Walitoka Droo Ya Bao 1-1.

Jay-Z Alishawahi kusema Mchezaji Wake Kipenzi Ni Thierry Henry Wakati Yupo Arsenal Na kwa Sasa Anaye Vaa Jezi Hio Ni Theo Walcott Aliyefunga Goli La Arsenal Walipokutana Na Man.


SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment