
.
Ilibaki stori tu baada ya mastaa hao kutua na ndege ya kawaida ya abiria tena wakiwa wamejichanganya na abiria wengine (economy) wakiwa na mastaa wengine akiwemo tajiri mwingine mchekeshaji aitwae AY, mwigizaji Chioma Akpotha na wengine wengi.

.
0 comments:
Post a Comment