MAMBO SI SHWARI LIWALE USIKU HUU KUFUATIA FUJO ZA WANAODAIWA KUWA WAKULIMA WA KOROSHO NA JESHI LA POLISI .... MAPAMBANO NI MAKALI SANA


Habari kutoka Liwale, mkoani Lindi, zinasema kwamba hali si shwari wilayani humo usiku huu kufuatia fujo kubwa zinazofanywa na wanaodaiwa kuwa wakulima wa korosho wanaodai malipo yao.
Nyumba nne inasemekana zimeshachomwa moto na ng'ombe kadhaa wamechinjwa na watu hao. Polisi wameshawasili eneo hilo na mabomu ya kutoa machozi yameanza kurindima katika harakati za kutawanya watu hao.

Habari hizo zinasema nyumba mbili za Mbunge wa Liwale na Mbili za mwenyekiti na makamu wa Umoja AMCOS zimechomwa moto, wakati ng'ombe wa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya na za meneja wa Ilulu Union wamechinjwa.
SUCCI1 Tutaendelea kwuajulisha zaidi kadri habari zitavyotufikia...
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment