Matukio yamekuwa kama ndiyo rafiki wa karibu wa Mario Balotelli kutokana na mchezaji huyu wa Milan kufungiwa kucheza mechi 3 za ligi ya Serie A, na hii ni kufuatia kitendo chake cha Jumapili cha kumtukana refa aliyekuwa anachezesha mechi yao dhidi ya Fiorentina.

Haya ndiyo maneno ambayo yamemponza Balotelli ["What the f*** are you looking at?"]

Game ambazo Balotelli hatazicheza ni kati ya Milan na Napoli, Juventus na pia catania na kumbuka kuwa kwa mwaka huu mpaka sasa amecheza mechi 11 za klabu na timu ya taifa ambapo
kati yake ana magoli 10.
0 comments:
Post a Comment