TID:ATA MAMA ALINIHULIZA WHY NIMEFUNJA KIOO CHA GARI YANGU

TID aongelea kuhusu ugomvi ulio ibuka wa washikaji zale wawili kati ya chidi benz na ngweair asema wanamchanganya aya ndo maneno ya tid "unajua mimi awawatu wawili mi siwaelewi wakubwa wazima wanapigana pigana tu ukiuriza chanzo nini eti uyu kani ita dogo what the hell?mi wananipotezea mambo yangu nashidwa kuwaza maswala ya mziki nawafikilia wao bana,wakati watu tunakaa nao kila siku pamoja tunakula pamoja tunacheka pamoja daaaaah kwakeli mi imeniuma na imenitia hasara kwanza imeniperekea hadi nikafunya kioo cha gari yangu

Mi nilicho kifanya ni kumpeleka uyumwengine hospital na kumwambia uyumwengine akapumzike nyumbani akijifikiria zaidi why?amefanya ivyo mimi kila mmoja nimemmaindi yani wahache mambo ayo
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment