Baada ya tukio la kuibiwa kwa taarifa za siri za mastaa mbalimbali hivi juzi, sasa story mtaani zimemuelemea mwanadada Kim Kardashian kutokana na siri juu ya utajiri wake kuonyesha picha ya tofauti na yeye alivyo.
![]() |
Kim Kardashian |
Japo pesa hii inaweza kuonekana kama ni nyingi, lakini taarifa hizi zimeweka wazi pia kuwa, Mwanadada huyu ana deni la dola Milioni n5.6 ambazo amewekea dhamana Jumba lake lililokuwa huko LOS ANGELES ambapo kila mwezi anatakiwa kulipa dola elfu 26 sawa na shilingi milioni 42 na laki 2.
![]() |
Nyumba ya Kim |
![]() |
Kim Kardashian |
![]() |
Kim Kardashian |
0 comments:
Post a Comment