VIDEO: Q CHIEF AMJIBU MSANII DIAMOND BAADA YA KUFUNGUKA KWENYE XXL YA CLOUDS FM.

q chief


Kupitia kipindi cha XXL cha Clouds radio, Diamond alisikika akijibu maswala mengi yaliyokuwa yakimkabili lakini jambo mojawapo lilikuwa la kumuhusu msanii Q Chief aliyekuwa akimtuhumu katika mambo ya kishirikina.

Diamond akiwa na B12 ndani ya kipindi cha XXL ya Clouds Fm jana.
Kutokana na msanii Diamond kutoa majibu yake kupitia chombo kile kile cha habari, kuwa hajihusishi na aina yoyote ya waganga wa kienyeji na pia hahusiki na kutembelea nyota ya Q Chief, Q Chilla nae amefunguka kupitia Bongo 5, tazama vidio hiyo hapo juu.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment