NEY:WATASHINDANA LAKINI WATASHINDWA SIWEZI KUMJIBU NIKKI MBISHI


Baada ya kutoswa na mpenzi wake wa bongo movie ney wa mitego asema awezi kupoteza mda wake kujibishana na nikki mbishi.Ney:nikki mbishi ni sela sana na ninajua wasi kabisa ile nyimbo mule ndani ajanisema mimi ila kuna vidudu mtu wanatafuta maneno ili wani pambanishe na mshikaji ila kiukweli watashindana na watashindwa.Mimi na nikki atuwezi fanya ayo mambo kwanza msela ni mbishi kweli mi simuezi jamaa yeye mziki kazi mimi mziki burudani"aalisema ney wamitego kipindi akiwa anapiga stori na mwandishi wetu wa SUCCI1 maeneo ya manzese tuka muhuliza tena vipi kuhusu mwanadada shirore jibu la ney lili kua zito kidogo kulisema na kuliandika ila alisema bado game lipo on.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment