FIDQ MWALIMU WA HIPHOP DARASA

Fidq ni msanii wa HIPHOP anae saidi sana wasanii wachanga katika game hili ra mziki hadi kua mua kufungua darasa la hiphop kabisa kwa hajili ya wasanii wa changa amesha pata wanafunzi wengi tu hadi leo hii na wanafunzi wanafanya mambo ya kweli kiasi kwamba wanawenza atakusimama na msanii yoyote yule bila kuteteleka licha ya ivyo vyote bado ana kipidi katika stasheni ya hapa bongo ambayo ukiwa na kinyamuzi au dstv unaweza cheki kinacho onesha michano ya wasanii wachanga hadi wale wakongweFOLLOW HIM ON TWITTER@FIDQ NA FOLLOW ME TO @SUNDAYSUCCI
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment