ALICHOKISEMA PREZZO BAADA YA TAARIFA YA MSIBA WA GOLDIE


Baada ya taarifa za msiba kusambaa kila sehemu Africa na dunia kuhusu kifo cha mwanamuziki Goldie Harvey, hatimaye aliyekuwa mume mtarajiwa wa marehemu Goldie, Prezzo ameonyesha kuguswa kwake na kifo hicho cha mpenzi wake.
Prezzo ameandika maneno katika ukurasa wake wa facebook yakionesha ni jinsi gani ameguswa na msiba huo. Hapa chini ndio maneno aliyoandika msanii huyo...
Huu Ndio Ugonjwa Uliopelekea Kifo Cha Mwanamuziki Goldie Harvey...
Marehemu Goldie Harvey ambaye alikutwa na mauti,kuwafanya mashabiki wake kushikwa na simanzi kubwa kuhusiana na taarifa za kifo chake imeelezwa kuwa ugonjwa wa ''Pulmonary Embolism'' ndio uliopelekea kifo chake.
Ugonjwa huo unaosababishwa na kuganda kwa damu, husababisha mshipa mkubwa ambao unasafirisha damu na hewa kwenda kwenye mapafu kuziba na kupelekea binadamu kufariki ghafla.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment