RAIS JAKAYA KIKWETE AUNGANA NA MAELFU YA WAOMBOLEZAJI KUMZIKA MAREHEMU JUMA KILOWOKO 'SAJUKI' JIJINI DAR

Maelfu waliojitokeza kumzika marehemu Juma Kilowoko 'Sajuki' katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya wasanii wakijipanga kumzika marehemu Juma Kilowoko 'Sajuki'.
 Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Juma Kilowoko 'Sajuki' likiwasili makaburini tayari kwa maziko.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Jakaya Kikwete akiwa ni mmoja ya waombolezaji waliojitokeza katika maziko ya msanii huyo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Jakaya Kikwete akiweka udongo kwenye Kaburi la Marehemu Juma Kilowoko 'Sajuki' yaliyofanyika mchana huu kwenye Makaburi ya Kisutu, Jijini Dar es Salaam.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment