
.
Baadae May D alizungumza na kusema taarifa za kufukuzwa kwake kwenye lebo ya P Square alizisikia tu kwenye magazeti na vyombo vingine vya habari lakini kina P Square hawakuwahi kumueleza chochote kitu ambacho kilimpa mwamko wa kuwashitaki.
Baada ya hapo kila mtu alijua kuna beef zito lakini siku chache zilizopita imeanza kuonekana kwamba hawako tena kwenye beef ambalo walikua hata hawaongei, juzi wakati May D amepata mtoto wa kiume Peter wa P Square aliamua kumuandikia kupitia twitter na kumpa hongera, hiyo ni moja ya ishara kwamba sasa hivi kuna uhusiano ambao sio mbaya kati yao japo pia itakua poa tukisikia kutoka kwao.

.

0 comments:
Post a Comment