PEDESHEE WEMA SEPETU ALIFUNIKA WASANII WENZAKE MSIBA WA SHARO MILONEA

   Msanii nyota wa filamu nchini na aliyekuwa Miss Tanzania 2006/07 Wema Isack Sepetu katikati ya wiki iliyopita alilitia aibu kundi la bongo muvi kwa kufanya kitu cha kipekee kwenye msiba wa mwanamuziki na msanii wa komedi aliyefariki kwa ajali Mkoani Tanga Sharo Milionea.
Wema Sepetu ambae siku za hivi karibuni  amepumnzika skendo kwenye vyombo vya habari alipongezwa na watu kwa uungwana aliounonesha baada ya kutoa mchango mwingi kuliko msanii yeyote wa kundi hilo linalosifika kwa kashfa za ngono.
   Habari zilizothibitishwa na mmoja wa ndugu wa marehemu ambae aligoma kutaja jina lake kwa madai kuwa yeye si msemaji wa familia alisema kuwa” Ni kweli wasanii mbalimbali walijitolea kwa kuja huku Tanga lakini Wema ndiye aliyetoa mchango mkubwa sana kwa kutoa shilingi laki mbili peke yake 200000/= huku wasanii wengine wakiishia kutia aibu”Alisema mtu.
   Aidha ilidaiwa Wema ndiye aliyeonekana kuwa na uchungu wa dhati toka moyoni ambapo licha ya mchango huo pia alionekana kujishughulisha na kazi za kusaidia majukumu msibani hapo bila kujali ustaa wake aliokuwa nao.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment