BIRTHDAY PARTY YA CLUB BILCANAS NA CLOUDS FM YAFANYA KWELI


Watu wa mataifa mbalimbali wakicheza muziki katika ukumbi wa Bilicanas.
Sherehe hizo zilipambwa na shamrashamra za aina mbalimabli ikiwemo kukati keki pamoja na kufungua shampeni
Dk. Lilian Mtei akizungumza katika hafla hiyo.
Mwakilishi wa Clouds FM, Wasiwasi Mwabulambo akizungumza katika hafla hiyo
 Tukate keki
 Mmoja kati ya wafanyakazi wa kwanza wakati Bilicanas Club inaanzishwa miaka 20 iliyopita, Monika Victor akimlisha keki, Dk. Lilian Mtei wakati wa hafla ya kutimiza miaka 20 ya klabu hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo. 
 Maandalizi ya keki
 Pili Mitemo  ambaye alimwakilisha mumewe aliyekuwa Meneja wa kwanza wa klabu hiyo, ambaye kwa sasa ni marehemu akipokea keki kutoka kwa Dk. Lilian Mbowe kwa ajili ya kuwapa wadau waliojitokeza katika hafla hiyo
 Mzee Ali Ramadhan Mkude nae akuwa mbali katika mnuso wa Bilicanas Club kutimiza miaka 20 tangu kuanzishwa
 Mdau Bi. Agnes Mbowe akillishwa kipande cha keki na Dk. Lilian Mtei.
 DJ Ibrahim Tuwa 'Dj Ibra' akilishwa keki wakati wa hafla hiyo
Dk. Lilian Mtei akimlisha kipande cha keki Meneja Msaidizi wa Vinywaji wa Club Bilicanas, Amandus Agant wakati wa Birthday ya Bilicanas Club kutimiza miaka 20.
 Monica Victor akigawa keki kwa wadau waliofika katika sherehe hizo.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment