WEMA AFUNGUKA SUPERSTAR IMEMGHARIMU ZAIDI YA MIL 30

Muvi mpya sepetu inayoitwa superstar ametumia mkwanja mrefu, ndani ya muvi kuna mastaa kibao kama barnaba, shetta, T.I.D, mr.blue, ben kinyaiya na wengine kibao, muvi imeelezea maisha yake halisi ya kisuperstar "Kama unavyoona casting ilivyo, nimewatumia watu ambao kiukweli ni masupastaa wa ukweli ambao kwa namna moja amanyingine wanahusiana na maisha yangu ya ukweli nje ya muvi".
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

1 comments: