Unaambiwa mabadiliko yalianza kuonekana toka mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye sherehe za 51 za kujitawala ambapo badala ya Rais kutumia gari aina ya Land rover iliyo wazi iliyokua pia ikitumika na marais wa awali, rais aliiingia kwenye uwanja wa michezo wa nyayo na gari aina ya Land cruiser iliyo na vioo visivyo penya risasi.
Yani baada ya Al Shabaab kusema wataua viongozi Kenya, imebidi msafara wa rais uwe hivi
Unaambiwa mabadiliko yalianza kuonekana toka mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye sherehe za 51 za kujitawala ambapo badala ya Rais kutumia gari aina ya Land rover iliyo wazi iliyokua pia ikitumika na marais wa awali, rais aliiingia kwenye uwanja wa michezo wa nyayo na gari aina ya Land cruiser iliyo na vioo visivyo penya risasi.
0 comments:
Post a Comment