Hivi karibuni zimefanyika juhudi kubwa kunusuru wasanii kutumbukia katika umaskini wa kutupwa dhidi ya makampuni ya simu kunyonya kazi zao na upande wa pili baadhi ya radio ambazo zinaonesha upendeleo , unyanyasaji na unyonyaji wa wazi kwa kazi za wasanii.Clouds FM hivi karibuni imeshutumiwa na Lady Jay Dee kuendesha kampeni za kumuua kisanii ambapo pia imewalipa baadhi ya wasanii ambao walitakiwa kuhudhulia show ya Lady JayDee ili wasitokee katika shoo hiyo.Jamii haipendezwi na vita hii japo serikali imeonekana kufumba macho na kujifanya haioni kinachoendelea.Tuko pamoja katika kuona haki,usawa na amani vinatendeka.Mungu Ibariki Tanzania
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment